Ushiriki wa wanawake na vijana








Chanzo: NEC
  • Kwa kasi hii, itachukua uchaguzi 31 hadi idadi ya wagombea ubunge wanawake iwe sawa na idadi ya wanaume. Hii ni zaidi ya miaka 150. 
  • Asilimia 9 ya wagombea ubunge wa CCM ni wanawake
  • Asilimia 6 ya wagombea ubunge wa CHADEMA ni wanawake
  • Asilimia 15 ya wagombea ubunge wa ACT-Wazalendo ni wanawake
  • Asilimia 11 ya wagombea ubunge wa CUF ni wanawake
  • Kundi lenye wagombea ubunge wengi wanawake ni vyama vingine vilivyosalia



  • Zaidi ya nusu ya walioandikishwa na NEC ni vijana chini ya miaka 35

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger TemplatesPublished.. Blogger Templates